ShabbyDAR: HUYU NDO MTOTO MNENE DUNIANI KULIKO WATOTO WOTE!
CONVERSATION
ShabbyDAR: JE UNAJUA KILICHOMFANYA LANGA ATUMIE COCAINE!
Hivi karibuni tumpoteza mkali wa cocacola au tumuite mkongwe wa hiphop ajulikanaye kwa jina la umaarufu kama langa lakini9 wengi sana wanahisi kuwa alikufa kwa ajiri ya madawa ya kulevya lakini swali ni vp!
je kwanini vijana wanajiingiza kwenye utumiaji wa madawa ya kulevya,utumiaji wa madawa ya kulevya kwa vijana hutokana na matatizo mbalimbali ikiwemo stress au ugumu wa maisha lakini kwa langa ilikuwa tofauti kidogo maana kuhusu pesa,family ya langa ipo juu kidogo kwa kipato je nn kilichomfanya ajiingize kwenye maqtumizi ya madawa ya kulevya! nijibu kupitia my EMAIL au my CONTACT SMS iliyopo hapo juu!
je kwanini vijana wanajiingiza kwenye utumiaji wa madawa ya kulevya,utumiaji wa madawa ya kulevya kwa vijana hutokana na matatizo mbalimbali ikiwemo stress au ugumu wa maisha lakini kwa langa ilikuwa tofauti kidogo maana kuhusu pesa,family ya langa ipo juu kidogo kwa kipato je nn kilichomfanya ajiingize kwenye maqtumizi ya madawa ya kulevya! nijibu kupitia my EMAIL au my CONTACT SMS iliyopo hapo juu!
CONVERSATION
ShabbyDAR: HII NI PICHA YA UKUMBUSHO YA WASANII KUTOKA KWENYE MKUTANO WA KABANGGG!
Huu ulikuwa mkutano wa waandishi wa habari na kampuni ya simu
Tigo-Tanzania na wasanii kuhusu Kampeni yake ya Min Kabang.....
Tamasha hilo linalofanyika mkoani Mwanza watatumbuiza
wasanii wengi Binafsi na mimi
mwenyewe mtoto wa kimanyema sintokosekana pale kati nikiwa
na Team yangu nzima ya wasafi kwenda kuakikisha maajabu
yote na unyama wote kufanyika saawia...
Pembeni yangu nikiwa na wasanii wenzangu tuliokuwepo
kwenye mkutano huo jana makaoo makuu ya Tigo.....
Show hiyo itakayofanyika ndani ya uwanja wa ccm kirumba jijini mwanza itakuwa bure
kabisa,haina kiingilio ni maalumu kwa wakazi wa mwanza na wateja wa Tigo kiujumla...
Wasanii watakao kuwepo siku hiyo ukinitoa mimi binafsi atasimama stejini
Nay wa Mitego,Madee,Rich Mavoko,Recho,Makomando,Chege & Temba na wengineo....
Kama mkazi wa Mwanza fika bila kukosa na line yako ya tigo kama aijasajiliwa
uje kusajiliwa na kujiunga na ofa kabamb kutoka tigo na n.k
Picha kadhaa tukiwa kwenye mkutano huo kuwajuza wandishi wa habari juu ya uwepo wetu
na ujio wetu siku hiyo ya tarehe 30 mwezi wa sita kwa wakazi wa Jiji la Mwanza...!!
Tigo-Tanzania na wasanii kuhusu Kampeni yake ya Min Kabang.....
Tamasha hilo linalofanyika mkoani Mwanza watatumbuiza
wasanii wengi Binafsi na mimi
mwenyewe mtoto wa kimanyema sintokosekana pale kati nikiwa
na Team yangu nzima ya wasafi kwenda kuakikisha maajabu
yote na unyama wote kufanyika saawia...
Pembeni yangu nikiwa na wasanii wenzangu tuliokuwepo
kwenye mkutano huo jana makaoo makuu ya Tigo.....
Show hiyo itakayofanyika ndani ya uwanja wa ccm kirumba jijini mwanza itakuwa bure
kabisa,haina kiingilio ni maalumu kwa wakazi wa mwanza na wateja wa Tigo kiujumla...
Wasanii watakao kuwepo siku hiyo ukinitoa mimi binafsi atasimama stejini
Nay wa Mitego,Madee,Rich Mavoko,Recho,Makomando,Chege & Temba na wengineo....
Kama mkazi wa Mwanza fika bila kukosa na line yako ya tigo kama aijasajiliwa
uje kusajiliwa na kujiunga na ofa kabamb kutoka tigo na n.k
Picha kadhaa tukiwa kwenye mkutano huo kuwajuza wandishi wa habari juu ya uwepo wetu
na ujio wetu siku hiyo ya tarehe 30 mwezi wa sita kwa wakazi wa Jiji la Mwanza...!!
CONVERSATION
ShabbyDAR: HUYU NDO MTOTO MWENYE MIAKA MINNE NA MNNE DUNIAN KULIKO WATOTO WOTE!
Ni mtoto mdogog mwenye umri wa miaka minne na mtoto mwenye uzito wa kilo 60,mhhh kwa umri huop si kweli kuwa watoto wanaweza kufikisha inamaaana huyu ANA MIFUPA YA MTU MZIMA,KWA WAKALI WA TASMINI china wamesema huyu mtoto ndio mnene kuliko wote dunian mhili ni tatizo anaitwa chung kong zhang.MAAJABU HAYA.
CONVERSATION
shabbyDAR:QUICK ROCKER FT NGWEAR! HII HAPA
CONVERSATION
shabbyDAR: BENPOL-JIKUBALI OFFICIAL VIDEO-HII HAPA!
CONVERSATION
shabbyDAR: FA NA AY KUPIGA KORABO NA J MARTIN KUTOKA NIGERIA!
Wakongwe hawa wa miziki wa bongo flava hapa nchini wameamua kuvuka boda na kwenda kuimba na mkali kutoka nigeria ili wapate kuweka history ktk maisha yao,kwa mm naweza kuser\ma hii ni hgatua nzuri kwa kuwa wasanii wetu wengi huwa wanatamba ndani ya nchi nna cyo nje ya bongo so mungu awe nao vijana hawa na maisha memw katika safari yote ya muziki wao!
CONVERSATION
shabbyDAR: WASANII WA BONGO FLAVA WAFANYA MKUTANO NA KAMPUTI YA TIGO!
Huu ulikuwa mkutano wa waandishi wa habari na kampuni ya simu
Tigo-Tanzania na wasanii kuhusu Kampeni yake ya Min Kabang.....
Tamasha hilo linalofanyika mkoani Mwanza watatumbuiza
wasanii wengi Binafsi na mimi
mwenyewe mtoto wa kimanyema sintokosekana pale kati nikiwa
na Team yangu nzima ya wasafi kwenda kuakikisha maajabu
yote na unyama wote kufanyika saawia...
Pembeni yangu nikiwa na wasanii wenzangu tuliokuwepo
kwenye mkutano huo jana makaoo makuu ya Tigo.....
Show hiyo itakayofanyika ndani ya uwanja wa ccm kirumba jijini mwanza itakuwa bure
kabisa,haina kiingilio ni maalumu kwa wakazi wa mwanza na wateja wa Tigo kiujumla...
Wasanii watakao kuwepo siku hiyo ukinitoa mimi binafsi atasimama stejini
Nay wa Mitego,Madee,Rich Mavoko,Recho,Makomando,Chege & Temba na wengineo....
Kama mkazi wa Mwanza fika bila kukosa na line yako ya tigo kama aijasajiliwa
uje kusajiliwa na kujiunga na ofa kabamb kutoka tigo na n.k
Picha kadhaa tukiwa kwenye mkutano huo kuwajuza wandishi wa habari juu ya uwepo wetu
na ujio wetu siku hiyo ya tarehe 30 mwezi wa sita kwa wakazi wa Jiji la Mwanza...!!
Tigo-Tanzania na wasanii kuhusu Kampeni yake ya Min Kabang.....
Tamasha hilo linalofanyika mkoani Mwanza watatumbuiza
wasanii wengi Binafsi na mimi
mwenyewe mtoto wa kimanyema sintokosekana pale kati nikiwa
na Team yangu nzima ya wasafi kwenda kuakikisha maajabu
yote na unyama wote kufanyika saawia...
Pembeni yangu nikiwa na wasanii wenzangu tuliokuwepo
kwenye mkutano huo jana makaoo makuu ya Tigo.....
Show hiyo itakayofanyika ndani ya uwanja wa ccm kirumba jijini mwanza itakuwa bure
kabisa,haina kiingilio ni maalumu kwa wakazi wa mwanza na wateja wa Tigo kiujumla...
Wasanii watakao kuwepo siku hiyo ukinitoa mimi binafsi atasimama stejini
Nay wa Mitego,Madee,Rich Mavoko,Recho,Makomando,Chege & Temba na wengineo....
Kama mkazi wa Mwanza fika bila kukosa na line yako ya tigo kama aijasajiliwa
uje kusajiliwa na kujiunga na ofa kabamb kutoka tigo na n.k
Picha kadhaa tukiwa kwenye mkutano huo kuwajuza wandishi wa habari juu ya uwepo wetu
na ujio wetu siku hiyo ya tarehe 30 mwezi wa sita kwa wakazi wa Jiji la Mwanza...!!
CONVERSATION
shabbyDAR! NGWEAR AMAGWA RASMI LEO HUKO S.AFRIKA (BONDENI)
CONVERSATION
Subscribe to:
Comments
(
Atom
)
About me
Popular Posts
-
ClicK HAPA Ku-Download wimbo wa JcB ft FiD Q & KalaPina kwa jina "Sina Muda" Ngoma ni HipHop Category juu ya Beat toka kwa P...









0 comments :
Post a Comment