PREzoo NaYeEe!!!!!!!!!


MHHH PREZOo!!!!
Ni msanii wa hiphop nchini kenya akiwa kwenye zihara yake nchini bongo dar es salaam,alipokelewa vyema sana na wasanii wenzake wa kiume na wakike yaani mastaa wa bongo lakini WEMA SEPETU alionesha surport kuliko wengine hili jambo liliweka hofu watu wengi sana iktwemo baadhi ya mastaa wenzake dah ni hatari lakini salamaaaa!

CONVERSATION

0 comments :

Post a Comment

Back
to top