Ni kichupa kinachofanya bomba sana kwenye tasniahii ya BONGOFLAVA kwa mwaka 2013,haaa mzeee huyu ameamua kutoa la moyoni na kumchana makavu demu mzinguaji dah juzi kwnye INTERVIEW young killer alifunguka na kusema kuwa ni disign kama hii ngoma inamuhusu so listern then give me ur comment!
0 comments :
Post a Comment