JE WAJUA? HIPS AU MAKALIO MAKUBWA..NI ISHARA YA AFYA KITAALAM....?? SOMA HAPA NIKUJUZE.. Unknown 01:38 Add Comment Edit Uchunguzi uliofanywa nchini Uingereza umeendelea kulipandisha chati umbo la kibantu, kwa kusema kwamba, kuwa na unene zaidi eneo la mapajani, katika makalio na katika mahips ni vizuri kiafya, na humzuia mtu asipate matatizo ya kiafya.
0 comments :
Post a Comment